Font Size
Yohana 4:30-32
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 4:30-32
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
30 Hivyo wale watu wakatoka mjini wakaenda kumwona Yesu!
31 Wakati huyo mwanamke akiwa mjini, wafuasi wa Yesu wakamsihi Bwana wao wakamwambia, “Mwalimu, ule chakula chochote.”
32 Lakini Yesu akawajibu, “Mimi ninacho chakula ambacho ninyi hamkijui.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International