Font Size
Yohana 4:23-25
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 4:23-25
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
23 Lakini wakati unakuja wenye nia halisi ya kuabudu watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa hakika, wakati huo sasa umekwishafika. Na hao ndiyo watu ambao Baba anataka wamwabudu. 24 Mungu ni roho. Hivyo wote wanaomwabudu wanapaswa kumwabudu katika roho na kweli.”
25 Mwanamke akasema, “Naelewa kwamba Masihi anakuja.” (Ndiye anayeitwa Kristo.)
“Atakapokuja, atatufafanulia kila kitu.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International