Font Size
Yohana 3:15-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 3:15-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
15 Kisha kila anayemwamini aweze kuupata uzima wa milele.[a]
16 Kweli, hivi ndivyo Mungu alivyouonyesha upendo wake mkuu kwa ulimwengu: akamtoa Mwanawe wa pekee, ili kila mtu anayemwamini asiharibiwe na mauti bali aupate uzima wa milele. 17 Mungu alimtuma Mwanawe ili kuuokoa ulimwengu. Hakumtuma kuja kuuhukumu na kuuweka hatiani, bali kuuokoa kwa njia ya mwanawe.
Read full chapterFootnotes
- 3:15 Wataalamu wengine wanafikiri kwamba maneno ya Yesu kwa Nikodemo yanaendelea hadi mstari wa 21.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International