Font Size
Yohana 3:15-17
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 3:15-17
Neno: Bibilia Takatifu
15 ili kila mtu aniaminiye awe na uzima wa milele . 16 “Kwa maana Mungu aliupenda ulimwengu kiasi cha kumtoa Mwanae pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. 17 Maana Mungu hakumtuma Mwanae kuuhukumu ulimwengu bali auokoe ulimwengu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica