Font Size
Yohana 20:16-18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 20:16-18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
16 Yesu akamwita, “Mariamu.”
Mariamu akamgeukia na kumwambia kwa Kiaramu, “Raboni”, (hii ikiwa na maana “Mwalimu”).
17 Yesu akamwambia, “Hupaswi kunishika! Kwani bado sijapaa kwenda huko juu kwa Baba yangu. Lakini nenda ukawaambie wafuasi wangu[a] maneno haya: ‘Ninarudi kwa Baba yangu ambaye pia ni Baba yenu. Ninarudi kwa Mungu wangu ambaye pia ni Mungu wenu.’”
18 Mariamu Magdalena akaenda kwa wafuasi na kuwaambia, “Nimemwona Bwana!” Naye akawaeleza yale Yesu aliyomwambia.
Read full chapterFootnotes
- 20:17 wafuasi wangu Yaani, “ndugu zangu”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International