Font Size
Yohana 20:14-16
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 20:14-16
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
14 Wakati Mariamu aliposema hivi, akageuka nyuma na kumwona Yesu amesimama pale. Lakini hakujua kuwa huyo alikuwa ni Yesu.
15 Akamwuliza, “Mwanamke, kwa nini unalia? Je, unamtafuta nani?”
Yeye alifikiri kuwa huyu alikuwa ni mtunzaji wa bustani. Hivyo akamwambia, “Je, ulimwondoa Bwana? Niambie umemweka wapi. Nami nitaenda kumchukua.” 16 Yesu akamwita, “Mariamu.”
Mariamu akamgeukia na kumwambia kwa Kiaramu, “Raboni”, (hii ikiwa na maana “Mwalimu”).
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International