Font Size
Yohana 19:29-31
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 19:29-31
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
29 Palikuwapo na bakuli lililojaa siki[a] mahali pale, wale askari wakachovya sponji ndani yake. Wakaiweka ile sponji kwenye tawi la mwanzi na kuliinua hadi kinywani kwa Yesu. 30 Alipoionja ile siki, akasema, “Imekwisha.” Baada ya hapo akainamisha kichwa chake na kufa.
31 Hii ilikuwa Ijumaa, Siku ya Matayarisho. Siku iliyofuata ilikuwa ni siku ya Sabato maalumu. Viongozi wa Kiyahudi hawakuitaka ile miili ya waliosulubiwa ikae juu misalabani katika siku ya Sabato. Hivyo wakamwomba Pilato atoe amri kuwa miguu ya wale watu misalabani ivunjwe. Pia wakaomba ile miili ishushwe kutoka kwenye misalaba.
Read full chapterFootnotes
- 19:29 siki Divai chungu; yaani, siki ya mvinyo (au divai chungu) uliochanganywa na maji. Hiki kilikuwa kinywaji rahisi na kilichojulikana sana wakati wa Yesu.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International