Font Size
Yohana 19:28-30
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 19:28-30
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Afariki
(Mt 27:45-56; Mk 15:33-41; Lk 23:44-49)
28 Baadaye, Yesu akajua kuwa kila kitu kimekwisha kamilika. Ili kuyafanya Maandiko yatimie akasema, “Nina kiu.”[a] 29 Palikuwapo na bakuli lililojaa siki[b] mahali pale, wale askari wakachovya sponji ndani yake. Wakaiweka ile sponji kwenye tawi la mwanzi na kuliinua hadi kinywani kwa Yesu. 30 Alipoionja ile siki, akasema, “Imekwisha.” Baada ya hapo akainamisha kichwa chake na kufa.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International