Font Size
Yohana 15:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 15:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
8 Ninyi mdhihirishe kuwa mmekuwa wafuasi wangu kwa kutoa matunda mengi. Kwani hiyo itamletea Baba utukufu.[a]
9 Mimi nimewapenda kama vile Baba alivyonipenda. Sasa mdumu katika upendo wangu. 10 Nimezitii amri za Baba yangu, naye anaendelea kunipenda. Kwa jinsi hiyo, nami nitaendelea kuwapenda mkizitii amri zangu.
Read full chapterFootnotes
- 15:8 utukufu Au “heshima”. Tazama Utukufu katika Orodha ya Maneno.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International