Font Size
Yohana 14:23-25
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 14:23-25
Neno: Bibilia Takatifu
23 Yesu akamjibu, “Mtu akinipenda atashika mafundisho yangu na Baba yangu atampenda, nasi tutafanya makao yetu kwake. 24 Mtu asiyenipenda hayashiki mafundisho yangu na mafundisho niliyowapeni si yangu bali yametoka kwa Baba yangu aliyenituma.
25 “Nimewaambia mambo haya wakati nikiwa bado nipo nanyi.
Read full chapter
Yohana 14:23-25
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 14:23-25
Neno: Bibilia Takatifu
23 Yesu akamjibu, “Mtu akinipenda atashika mafundisho yangu na Baba yangu atampenda, nasi tutafanya makao yetu kwake. 24 Mtu asiyenipenda hayashiki mafundisho yangu na mafundisho niliyowapeni si yangu bali yametoka kwa Baba yangu aliyenituma.
25 “Nimewaambia mambo haya wakati nikiwa bado nipo nanyi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica