Font Size
Yohana 14:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 14:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Ndiye Njia Ya Kufika Kwa Mungu
14 Yesu akawaambia, “Msifadhaike mioyoni mwenu. Mwaminini Mungu, niaminini na mimi pia. 2 Katika nyumba ya baba yangu mna nafasi nyingi. Kama sivyo, nisingeliwaambia kwamba nakwenda kuwaandalia makao. 3 Na nikishawaandalia, nitarudi kuwachukua mkae pamoja nami; ili mahali nilipo, nanyi mpate kuwepo.
Read full chapter
Yohana 14:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 14:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Ndiye Njia Ya Kufika Kwa Mungu
14 Yesu akawaambia, “Msifadhaike mioyoni mwenu. Mwaminini Mungu, niaminini na mimi pia. 2 Katika nyumba ya baba yangu mna nafasi nyingi. Kama sivyo, nisingeliwaambia kwamba nakwenda kuwaandalia makao. 3 Na nikishawaandalia, nitarudi kuwachukua mkae pamoja nami; ili mahali nilipo, nanyi mpate kuwepo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica