Font Size
Yohana 12:43-45
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 12:43-45
Neno: Bibilia Takatifu
43 Wao walithamini zaidi sifa za watu kuliko sifa kutoka kwa Mungu.
Amwaminiye Yesu Hatabaki Gizani
44 Yesu akasema kwa sauti kuu, “Mtu anayeniamini mimi, anamwamini Mungu aliyenituma. 45 Na mtu anayeniona mimi, anam wona yeye ali yenituma.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica