Font Size
Yohana 12:35
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 12:35
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
35 Kisha Yesu akasema, “Nuru[a] itabaki pamoja nanyi kwa muda mfupi tu. Kwa hiyo mtembee mkiwa bado na hiyo nuru. Hapo giza[b] halitaweza kuwakamata. Watu wanaotembea gizani hawajui kule wanakoenda.
Read full chapter
Yohana 12:36
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 12:36
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
36 Hivyo wekeni matumaini yenu katika nuru wakati bado mkiwa nayo. Jinsi hiyo mtakuwa watoto wa nuru.” Yesu alipomaliza kusema mambo hayo, aliondoka na kwenda mahali ambapo watu wasingeweza kumwona.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International