Font Size
Yohana 1:41-43
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 1:41-43
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
41 Kitu cha kwanza alichokifanya Andrea kilikuwa ni kwenda kumtafuta ndugu yake Simoni. Andrea alipompata nduguye akamwambia, “Tumemwona Masihi.” (Masihi tafsiri yake ni Kristo.) 42 Kisha Andrea akamleta Simoni nduguye kwa Yesu. Yesu akamtazama, na kumwambia, “Wewe ndiwe Simoni, mwana wa Yohana. Basi utaitwa Kefa.” (“Kefa” tafsiri yake ni “Petro”.[a])
43 Kesho yake Yesu akaamua kwenda Galilaya. Huko alikutana na Filipo na kumwambia, “Nifuate.”
Read full chapterFootnotes
- 1:42 Petro Jina la Kiyunani “Petro”, kama jina la Kiaramu “Kefa”, linamaananisha “mwamba”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International