Font Size
Yohana 1:41-43
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 1:41-43
Neno: Bibilia Takatifu
41 Mara baada ya haya Andrea alikwenda kumtafuta ndugu yake akamwambia, “Tumemwona Masihi,” yaani Kristo. 42 Andrea akampeleka Simoni kwa Yesu. Yesu akamtazama, akasema, “Wewe ni Simoni mwana wa Yohana; sasa utaitwa Kefa.” Tafsiri ya Kefa kwa Kigiriki ni Petro, maana yake ‘Mwamba’.
Yesu Anawaita Filipo Na Nathanaeli
43 Kesho yake Yesu aliamua kwenda Galilaya. Akakutana na Filipo, akamwambia, “Nifuate.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica