Font Size
Yohana 1:16-18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 1:16-18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
16 Alikuwa amejaa neema na kweli ya Mungu,
tulipokea kutoka baraka moja
baada ya nyingine[a] kutoka kwake.
17 Hiyo ni kusema kuwa,
sheria ililetwa kwetu kupitia Musa.
Lakini neema na kweli imekuja
kupitia Yesu Kristo.
18 Hakuna aliyewahi kumwona Mungu
isipokuwa Mwana peke yake,
ambaye yeye mwenyewe ni Mungu,
ametuonesha jinsi Mungu alivyo.
Yuko karibu sana na Baba
kiasi kwamba tunapomwona,
tumemwona Mungu.
Footnotes
- 1:16 baraka moja baada ya nyingine Kwa maana ya kawaida, “neema juu ya neema”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International