Font Size
Yakobo 5:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Yakobo 5:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 Mmeishi duniani maisha ya anasa na kujistarehesha. Mmejinenepesha tayari kwa siku ya kuchinjwa. 6 Mmemhukumu na kum wua mwenye haki; yeye hakuwapinga.
Subira Na Mateso
7 Kwa hiyo, ndugu zangu, muwe na subira mpaka Bwana atakapo kuja. Angalieni jinsi mkulima anavyongojea ardhi itoe mavuno mazuri, jinsi anavyongojea kwa subira mvua za mwanzo na za mwisho.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica