Font Size
Yakobo 5:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yakobo 5:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
4 Angalieni! Mmeyazuia malipo ya wafanyakazi waliopalilia mashamba yenu. Sasa wananililia! Na kilio cha hao wanaovuna pia kimeyafikia masikio ya Bwana Aliye na Nguvu.
5 Mmeishi maisha ya anasa duniani na kujifurahisha na kila kitu mlichotaka. Mmeinenepesha miili yenu, kama wanyama walio tayari kwa siku ya kuchinjwa. 6 Mmehukumu na kuua wale watu wasio na hatia, na ambao hawakupingana nanyi.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International