Font Size
Yakobo 5:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Yakobo 5:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Angalieni ule ujira mliowadhulumu vibarua waliovuna mashamba yenu unawalilia; na vilio vya wavunaji hao vimeyafikia masikio ya Bwana wa majeshi. 5 Mmeishi duniani maisha ya anasa na kujistarehesha. Mmejinenepesha tayari kwa siku ya kuchinjwa. 6 Mmemhukumu na kum wua mwenye haki; yeye hakuwapinga.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica