Font Size
Yakobo 3:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Yakobo 3:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Ulimi pia ni kama moto. Ulimi ni ulimwengu wa uovu kati ya viungo vyetu. Humchafua mtu nafsi nzima na kuwasha moto maisha yake yote, nao ulimi huwashwa moto wa kuzimu. 7 Wanyama wa kila aina, ndege, nyoka na viumbe vya baharini wanafugwa na wamekwisha kufugwa na binadamu. 8 Lakini hakuna mtu awezaye kuufuga ulimi. Ni uovu unaohangaika huku na kule, uliojaa sumu inayoua.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica