Warumi 9
Neno: Bibilia Takatifu
Nafasi Ya Pekee Ya Waisraeli
9 Ninasema kweli katika Kristo na dhamiri yangu inanishuhudia kwa njia ya Roho Mtakatifu kuwa sisemi uongo. 2 Nina huzuni sana na uchungu usiokwisha moyoni mwangu. 3 Kwa maana ningetamani hata mimi nilaaniwe na kutengwa na Kristo kama kufanya hivyo kungeweza kuwasaidia ndugu zangu tulio wa kabila moja. 4 Nazungumza kuhusu Waisraeli ambao Mungu aliwateua kuwa wana wake, wakapewa utukufu wake, maagano yake, sheria yake, ibada ya kweli, na ahadi zake. 5 Wao ni wa uzao wa mababu wa kwanza, na katika taifa lao Kristo alitoka kama mwanadamu; yeye ambaye ni Mungu aliye juu ya vyote, atukuzwaye milele! Amina.
6 Lakini hii haina maana kwamba ahadi ya Mungu kwa wana wa Israeli imeshindwa. Kwa maana si wote ambao ni wa uzao wa Israeli ambao ni wa Israeli. 7 Wala si wazaliwa wote wa kizazi cha Abra hamu ambao ni watoto wake. Ahadi ya Mungu kwa Abrahamu ilikuwa: “Watoto wako watatoka katika uzao wa Isaki.” 8 Kwa maneno men gine, si wale watoto waliozaliwa na Ibrahimu kimwili ambao ni wana wa Mungu; bali ni wale watoto wa ahadi ambao wanahesabiwa kuwa kizazi cha Abrahamu. 9 Kwa maana ahadi yenyewe ilisema, “Nitarudi tena wakati kama huu na Sara atapata mtoto wa kiume.”
10 Na si hivyo tu bali pia wakati Rebeka alipozaa watoto na mume mmoja, Isaki, 11 hata kabla watoto wake mapacha hawajazal iwa wala kutenda jema au baya ili mpango wa Mungu wa kuchagua uendelee, si kwa kutegemea matendo mema bali kwa kufuatana na wito wake - 12 Rebeka aliambiwa, “Mkubwa atamhudumia mdogo.” 13 Kama Maandiko yasemavyo: “Nimempenda Yakobo, bali Esau nimemchukia.”
Mungu Hana Upendeleo
14 Tusemeje basi? Kwamba Mungu ana upendeleo? La, sivyo. 15 Kwa maana Mungu alimwambia Musa, “Nitamrehemu nipendaye kumrehemu; na nitamhurumia nipendaye kumhurumia.” 16 Kwa hiyo haitegemei mapenzi ya mtu au jitihada ya mtu, bali hutegemea huruma ya Mungu. 17 Kwa maana katika Maandiko Farao anaambiwa, “Nilikuinua kwa makusudi ya kudhihirisha nguvu zangu kwako na jina langu lipate kutangazwa duniani pote.” 18 Kwa hiyo basi, Mungu humhurumia mtu ye yote apendaye kumhurumia na huufanya mgumu moyo wa mtu ye yote atakaye.
19 Bila shaka mtaniuliza, “Kama ni hivyo, kwa nini Mungu anatulaumu? Kwa maana ni nani awezaye kushindana na mapenzi yake? 20 Lakini wewe mwanadamu, una haki gani ya kumhoji Mungu? Je, kilichotengenezwa kinaweza kumwuliza aliyekitengeneza, “Kwa nini umenitengeneza hivi?” 21 Je, mfinyanzi hana haki ya kufa nya apendavyo na udongo wake? Je, si anaweza kabisa kutumia sehemu ya udongo huo kutengeneza chombo kimoja kitumikacho kwa kupamba na kutoka katika udongo huo huo akatengeneza kingine kwa matumizi ya kawaida?
22 Tunajuaje kama Mungu, kwa kutaka kuonyesha ghadhabu yake na nguvu yake, amewavumilia kwa uvumilivu mkuu wale waliomkasi risha, ambao wameandaliwa kuangamizwa? 23 Na tunajuaje kama Mungu alifanya hivi ili kuwadhihirishia utajiri wa utukufu wake wale anaowahurumia, ambao aliwaandaa tangu mwanzo kupokea utu kufu? 24 Na sisi ndio hao walioitwa, si kutoka kwa Wayahudi tu bali pia kutoka kwa watu wa mataifa mengine.
Yote Yalitabiriwa Katika Maandiko
25 Hivi ndivyo Mungu asemavyo katika kitabu cha Hosea, “Wale ambao hawakuwa watu wangu, nitawaita ‘watu wangu,’ na wale ambao hawakuwa wapendwa wangu, nitawaita ‘wapendwa wangu’.” 26 Na pale pale walipoambiwa,“Ninyi si ‘watu wangu,’ ndipo watakapoitwa, ‘Wana wa Mungu aliye hai’.” 27 Na Isaya anasema hivi kuhusu Israeli: “Ijapokuwa wana wa Israeli watakuwa wengi kama mchanga wa bahari, ni wachache tu miongoni mwao watakaooko lewa;
28 kwa maana Mungu ataitekeleza hukumu yakejuu ya ulimwengu mara moja na kuikamilisha.” 29 Na tena kama alivyotabiri Isaya,“Kama Bwana wa majeshi asingetuachia uzao, tungalikuwa kama Sodoma, na kufanywa kama Gomora.”
30 Kwa hiyo tusemeje basi? Watu wa mataifa ambao hawakuta futa kupata haki wamepewa haki kwa njia ya imani. 31 Lakini Waisraeli ambao wametafuta kupata haki kwa msingi wa sheria, hawakuipata kwa maana hawakutimiza sheria. 32 Kwa nini? Kwa sababu hawakuitafuta kwa imani bali kwa kutegemea matendo. Wali jikwaa kwenye lile ‘jiwe la kujikwaa.’ 33 Kama ilivyoandikwa kwe nye Maandiko,“Tazama naweka jiwe huko Sayuni ambalo linawafanya watu kujikwaa na mwamba utakaowaangusha, na wale watakaomtegemea hawataaibika kamwe.”
Romans 9
International Children’s Bible
God and the Jewish People
9 I am in Christ, and I am telling you the truth. I do not lie. My feelings are ruled by the Holy Spirit, and they tell me that I am not lying. 2 I have great sorrow and always feel much sadness for the Jewish people. 3 I wish I could help my Jewish brothers, my people. I would even wish that I were cursed and cut off from Christ if that would help them. 4 They are the people of Israel. They were God’s chosen children. They have the glory of God and the agreements that God made between himself and his people. God gave them the law of Moses and the right way of worship. And God gave his promises to them. 5 They are the descendants of our great ancestors, and they are the earthly family of Christ. Christ is God over all. Praise him forever![a] Amen.
6 I do not mean that God failed to keep his promise to them. But only some of the people of Israel are truly God’s people.[b] 7 And only some of Abraham’s[c] descendants are true children of Abraham. But God said to Abraham: “The descendants I promised you will be from Isaac.”[d] 8 This means that not all of Abraham’s descendants are God’s true children. Abraham’s true children are those who become God’s children because of the promise God made to Abraham. 9 God’s promise to Abraham was this: “At the right time I will return, and Sarah will have a son.”[e] 10 And that is not all. Rebekah also had sons. And those sons had the same father, our father Isaac. 11-12 But before the two boys were born, God told Rebekah, “The older will serve the younger.”[f] This was before the boys had done anything good or bad. God said this before they were born so that the one chosen would be chosen because of God’s own plan. He was chosen because he was the one God wanted to call, not because of anything he did. 13 As the Scripture says, “I loved Jacob, but I hated Esau.”[g]
14 So what should we say about this? Is God unfair? In no way. 15 God said to Moses, “I will show kindness to anyone I want to show kindness. I will show mercy to anyone I want to show mercy.”[h] 16 So God will choose the one he decides to show mercy to. And his choice does not depend on what people want or try to do. 17 The Scripture says to the king of Egypt: “I made you king so I might show my power in you. In this way my name will be talked about in all the earth.”[i] 18 So God shows mercy where he wants to show mercy. And he makes stubborn the people he wants to make stubborn.
19 So one of you will ask me: “If God controls the things we do, then why does he blame us for our sins? Who can fight his will?” 20 Do not ask that. You are only human. And human beings have no right to question God. An object cannot tell the person who made it, “Why did you make me like this?” 21 The man who makes a jar can make anything he wants to make. He can use the same clay to make different things. He can make one thing for special use and another thing for daily use.
22 It is the same way with what God has done. God wanted to show his anger and to let people see his power. But God patiently stayed with those people he was angry with—people who were ready to be destroyed. 23 God waited with patience so that he could make known his rich glory. He wanted to give that glory to the people who receive his mercy. He has prepared these people to have his glory, and 24 we are those people whom God called. He called us from the Jews and from the non-Jews. 25 As the Scripture says in Hosea:
“I will say, ‘You are my people’
to those I had called ‘not my people.’
And I will show my love
to those people I did not love.” Hosea 2:1, 23
26 “Now it is said to Israel,
‘You are not my people.’
But later they will be called
‘children of the living God.’” Hosea 1:10
27 And Isaiah cries out about Israel:
“There are so many people of Israel.
They are like the grains of sand by the sea.
But only a few of them will be saved.
28 For the Lord will quickly and completely punish the people on the earth.” Isaiah 10:22-23
29 It is as Isaiah said:
“The Lord of heaven’s armies
allowed a few of our descendants to live.
Otherwise we would have been completely destroyed
like the cities of Sodom and Gomorrah.”[j] Isaiah 1:9
30 So what does all this mean? It means this: the non-Jews were not trying to make themselves right with God. But they were made right with God because of their faith. 31 And the people of Israel tried to follow a law to make themselves right with God. But they did not succeed, 32 because they tried to make themselves right by the things they did. They did not trust in God to make them right. They fell over the stone that causes people to fall. 33 As it is written in the Scripture:
“I will put in Jerusalem a stone that causes people to stumble.
It is a rock that makes them fall.
Anyone who trusts in him will not be disappointed.” Isaiah 8:14; 28:16
Footnotes
- 9:5 Christ . . . forever! This can also mean, “May God, who rules over all things, be praised forever!”
- 9:6 God’s people Literally, “Israel,” the people God chose to bring his blessings to the world.
- 9:7 Abraham Most respected ancestor of the Jews. Every Jew hoped to see Abraham.
- 9:7 “The descendants . . . Isaac.” Quotation from Genesis 21:12.
- 9:9 “At . . . son.” Quotation from Genesis 18:10, 14.
- 9:11-12 “The older . . . younger.” Quotation from Genesis 25:23.
- 9:13 “I . . . Esau.” Quotation from Malachi 1:2–3.
- 9:15 “I . . . mercy.” Quotation from Exodus 33:19.
- 9:17 “I . . . earth.” Quotation from Exodus 9:16.
- 9:29 Sodom and Gomorrah Two cities that God destroyed because the people were so evil.
Romans 9
King James Version
9 I say the truth in Christ, I lie not, my conscience also bearing me witness in the Holy Ghost,
2 That I have great heaviness and continual sorrow in my heart.
3 For I could wish that myself were accursed from Christ for my brethren, my kinsmen according to the flesh:
4 Who are Israelites; to whom pertaineth the adoption, and the glory, and the covenants, and the giving of the law, and the service of God, and the promises;
5 Whose are the fathers, and of whom as concerning the flesh Christ came, who is over all, God blessed for ever. Amen.
6 Not as though the word of God hath taken none effect. For they are not all Israel, which are of Israel:
7 Neither, because they are the seed of Abraham, are they all children: but, In Isaac shall thy seed be called.
8 That is, They which are the children of the flesh, these are not the children of God: but the children of the promise are counted for the seed.
9 For this is the word of promise, At this time will I come, and Sarah shall have a son.
10 And not only this; but when Rebecca also had conceived by one, even by our father Isaac;
11 (For the children being not yet born, neither having done any good or evil, that the purpose of God according to election might stand, not of works, but of him that calleth;)
12 It was said unto her, The elder shall serve the younger.
13 As it is written, Jacob have I loved, but Esau have I hated.
14 What shall we say then? Is there unrighteousness with God? God forbid.
15 For he saith to Moses, I will have mercy on whom I will have mercy, and I will have compassion on whom I will have compassion.
16 So then it is not of him that willeth, nor of him that runneth, but of God that sheweth mercy.
17 For the scripture saith unto Pharaoh, Even for this same purpose have I raised thee up, that I might shew my power in thee, and that my name might be declared throughout all the earth.
18 Therefore hath he mercy on whom he will have mercy, and whom he will he hardeneth.
19 Thou wilt say then unto me, Why doth he yet find fault? For who hath resisted his will?
20 Nay but, O man, who art thou that repliest against God? Shall the thing formed say to him that formed it, Why hast thou made me thus?
21 Hath not the potter power over the clay, of the same lump to make one vessel unto honour, and another unto dishonour?
22 What if God, willing to shew his wrath, and to make his power known, endured with much longsuffering the vessels of wrath fitted to destruction:
23 And that he might make known the riches of his glory on the vessels of mercy, which he had afore prepared unto glory,
24 Even us, whom he hath called, not of the Jews only, but also of the Gentiles?
25 As he saith also in Osee, I will call them my people, which were not my people; and her beloved, which was not beloved.
26 And it shall come to pass, that in the place where it was said unto them, Ye are not my people; there shall they be called the children of the living God.
27 Esaias also crieth concerning Israel, Though the number of the children of Israel be as the sand of the sea, a remnant shall be saved:
28 For he will finish the work, and cut it short in righteousness: because a short work will the Lord make upon the earth.
29 And as Esaias said before, Except the Lord of Sabaoth had left us a seed, we had been as Sodoma, and been made like unto Gomorrha.
30 What shall we say then? That the Gentiles, which followed not after righteousness, have attained to righteousness, even the righteousness which is of faith.
31 But Israel, which followed after the law of righteousness, hath not attained to the law of righteousness.
32 Wherefore? Because they sought it not by faith, but as it were by the works of the law. For they stumbled at that stumblingstone;
33 As it is written, Behold, I lay in Sion a stumblingstone and rock of offence: and whosoever believeth on him shall not be ashamed.
Copyright © 1989 by Biblica
The Holy Bible, International Children’s Bible® Copyright© 1986, 1988, 1999, 2015 by Thomas Nelson. Used by permission.
