Font Size
Warumi 8:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
Warumi 8:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
16 Ni Roho mwenyewe anayeshuhudia pamoja na roho zetu kwamba sisi ni wana wa Mungu. 17 Na ikiwa sisi ni wana, basi tu warithi. Sisi ni warithi wa Mungu tutakaorithi pamoja na Kristo iwapo tutateseka pamoja naye ili pia tutukuzwe pamoja naye.
Utukufu Ujao
18 Nayahesabu mateso tunayopata sasa kuwa si kitu yakilin ganishwa na utukufu utakaodhihirishwa kwetu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica