Font Size
Warumi 7:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Warumi 7:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Tusemeje basi? Kwamba sheria ni dhambi? La, sivyo! Kama isingekuwapo sheria, nisingalifahamu dhambi ni nini. Hakika nisi ngalijua tamaa ni nini kama sheria haikusema, “Usitamani.” 8 Lakini dhambi ilipata nafasi katika amri hii ikazaa ndani yangu kila aina ya tamaa. Kwa maana pasipo sheria, dhambi ime kufa. 9 Kabla ya kuwapo sheria, nilikuwa hai pasipo sheria, lakini amri ilipowasili dhambi nayo ilikuwa hai, nami nikafa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica