Font Size
Warumi 7:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
Warumi 7:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
Mgongano Kati Ya Mwili Na Roho
14 Tunafahamu kwamba sheria ni ya kiroho. Lakini mimi si wa kiroho; mimi nimeuzwa utumwani, ni mtumwa wa dhambi. 15 Sielewi nitendalo: kwa maana lile ninalotaka kulifanya, sifanyi; badala yake, ninafanya lile ambalo nachukia kulifanya. 16 Kwa hiyo kama ninafanya lile nisilopenda kufanya, hii ina maana kwamba nakubali kuwa sheria ni njema.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica