Font Size
Warumi 7:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Warumi 7:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
10 na hiyo ikawa na maana ya kifo kwangu. Amri ilikusudiwa kuleta uzima, lakini kwangu iliniletea kifo. 11 Dhambi ilipata njia ya kunidanganya kwa kutumia amri ili nife.
12 Hivyo, sheria ni takatifu na amri ni takatifu, sahihi na nzuri.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International