Font Size
Warumi 7:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Warumi 7:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Kielelezo Kutoka Katika Ndoa
7 Ndugu zangu, ninyi nyote mnailewa sheria ya Musa. Hivyo kwa hakika mnafahamu kuwa sheria huwatawala watu wanapokuwa hai tu. 2 Ni kama ambavyo sheria kuhusu ndoa inavyosema: ni lazima mwanamke abaki katika ndoa mume wake akiwa hai. Lakini mume wake akifa, atakuwa amewekwa huru kutoka katika sheria ya ndoa.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International