Warumi 2
Neno: Bibilia Takatifu
Hukumu Ya Mungu
2 Kwa hiyo huna udhuru wo wote, hata ukiwa nani, unapowahu kumu wengine. Kwa maana unapowahukumu wengine unajihukumu mwe nyewe, kwa kuwa wewe uliye hakimu unafanya mambo hayo hayo. 2 Tunajua kwamba hukumu ya Mungu huwafikia kwa halali wote wanaotenda mambo haya. 3 Je, wewe uliye binadamu tu, unapowahuku mu watu wanaofanya mambo hayo na huku wewe mwenyewe pia unafanya hayo hayo, unadhani utaepuka hukumu ya Mungu? 4 Au labda unad harau wingi wa huruma, uvumilivu na subira ya Mungu, ukasahau kwamba wema wake una shabaha ya kukufanya utubu?
5 Lakini kwa sababu ya ugumu na ukaidi wa moyo wako usioku bali kutubu, unajiwekea ghadhabu kwa siku ile ambapo ghadhabu ya Mungu na hukumu yake ya haki itadhihirishwa. 6 Siku hiyo, Mungu atamlipa kila mtu kulingana na matendo yake. 7 Wale ambao hutenda wema wakati wote na kutafuta utukufu, heshima na maisha yasiyo haribika, Mungu atawapa uzima wa milele. 8 Lakini wote watafu tao kujinufaisha, wanaokataa kweli na kufuatauovu, watapokea ghadhabu na hasira ya Mungu. 9 Kwa maana kila binadamu atendaye uovu atapata mateso na shida, kuanzia kwa Myahudi na kisha kwa mtu wa mataifa mengine. 10 Lakini Mungu atawapa utukufu, heshima na amani wote watendao mema; Wayahudi kwanza na kisha watu wa mataifa mengine. 11 Kwa maana Mungu hana upendeleo.
12 Watu wote waliotenda dhambi pasipokuwa na sheria ya Musa wataangamia pasipo sheria; na wale wote waliotenda dhambi chini ya sheria ya Musa watahukumiwa kwa sheria iyo hiyo. 13 Kwa maana wanaohesabiwa haki mbele ya Mungu si wale wanaosikia bali ni wal ewanaotii maagizo ya sheria. 14 Watu wa mataifa mengine ambao hawana sheria ya Musa, wanapoamua kutenda yale ambayo yameagizwa na sheria kwa kuongozwa na dhamiri zao, wao wenyewe wanakuwa wamejiwekea sheria, ingawa hawana sheria ya Musa. 15 Kwa jinsi hii matendo yao yanaonyesha kwamba yale yaliyoagizwa katika she ria ya Musa yameandikwa ndani ya mioyo yao. Dhamiri zao pia hush uhudia hivyo; kwa maana mawazo yao mara nyingine huwashtaki na mara nyingine huwatetea. 16 Kwa hiyo, kama Habari Njema ninay ohubiri inavyosema, hivyo ndivyo itakavyokuwa siku ile ambayo Mungu, kwa njia ya Yesu Kristo, atayahukumu mawazo ya siri ya wanadamu.
Wayahudi Na Sheria Ya Musa
17 Na wewe je? Wewe unayejiita Myahudi: unaitegemea sheria ya Musa na kujisifia uhusiano wako na Mungu; 18 unajua mapenzi ya Mungu na unatambua lililo bora kutokana na hiyo sheria. 19 Kama unatambua kuwa wewe ni kiongozi wa vipofu na mwanga kwa wale walioko gizani; 20 mkufunzi wa wajinga na mwalimu wa watoto wachanga, kwa kuwa una hakika kwamba ndani ya hiyo sheria mna maarifa na kweli yote: 21 wewe unayewafundisha wengine, mbona hujifunzi mwenyewe? Wewe unayehubiri kwamba watu wasiibe, wewe huibi? 22 Wewe unayewaambia watu wasizini, wewe huzini? Wewe uchukiaye miungu ya sanamu, huibi katika mahekalu? 23 Wewe unayejisifia sheria, humwaibishi Mungu kwa kuvunja sheria? 24 Kwa maana Maandiko yanasema, “Kwa ajili yenu ninyi Wayahudi, jina la Mungu linatukanwa miongoni mwa mataifa ya watu wasiom jua Mungu.”
25 Kutahiriwa kuna thamani tu iwapo unatii sheria, lakini kama unavunja sheria, umekuwa kama hukutahiriwa. 26 Kwa hiyo kama watu ambao hawakutahiriwa wanatimiza maagizo ya she ria, je, Mungu hatawahesabu kuwa kama waliotahiriwa? 27 Ndipo wale ambao kimwili hawakutahiriwa lakini wanatii sheria watawa hukumu ninyi mlio na Maandiko ya sheria nakutahiriwa lakini mna vunja sheria. 28 Kwamaana Myahudi wa kweli si yule anayeonekana kwa dalili za nje, wala tohara ya kweli si kitu cha kimwili. 29 Myahudi wa kweli ni yule aliye Myahudi kwa ndani, na tohara ya kweli ni jambo la moyoni, jambo la kiroho, wala si la sheria iliyoandikwa. Mtu wa jinsi hii anapata sifa kutoka kwa Mungu, wala si kutoka kwa wanadamu.
罗马书 2
Chinese Contemporary Bible (Simplified)
上帝公义的审判
2 因此,你这论断人的啊,不管你是谁,都难逃罪责。你在什么事上论断别人,就在什么事上定了自己的罪,因为你论断别人的事,自己也在做。 2 我们都知道,上帝必按真理审判做这些事的人。 3 你这人啊,你论断别人,自己却做同样的事,你以为自己能逃脱上帝的审判吗? 4 还是你藐视祂深厚的慈爱、宽容和忍耐,不知道祂的慈爱是要引导你悔改吗? 5 你这样硬着心不肯悔改等于是为自己积蓄烈怒,上帝的烈怒在祂施行公义审判的那天必临到你。 6 上帝必照各人的行为施行赏罚。 7 凡是恒心行善、寻求荣耀、尊贵和永恒福分的人,祂要把永生赐给他们; 8 至于那些自私自利、违背真理、行为不义的人,祂的烈怒和怒气要降在他们身上。 9 一切作恶之人必受患难和痛苦,先是犹太人,然后是希腊人。 10 祂要将荣耀、尊贵和平安赐给一切行善的人,先是犹太人,然后是希腊人。 11 因为上帝不偏待人。
12 没有上帝律法的人若犯罪,虽然不按律法受审判,仍要灭亡;有上帝律法的人若犯罪,必按律法受审判。 13 因为上帝眼中的义人不是听到律法的人,而是遵行律法的人。 14 没有律法的外族人若顺着天性做合乎律法的事,他们虽然没有律法,自己就是自己的律法。 15 这表明律法的要求刻在他们心里,他们的良心也可以证明,因为他们的思想有时指控他们,有时为他们辩护。 16 按照我所传的福音,到了审判之日,上帝要借着耶稣基督审判人一切隐秘的事。
犹太人与律法
17 你自称是犹太人,倚仗上帝所赐的律法,自夸与上帝有特别的关系; 18 你受过律法的教导,知道上帝的旨意,能明辨是非; 19 你自信可以做盲人的向导、黑暗中的人的光、 20 愚昧人的师傅、小孩子的老师,因为你从律法中得到了知识和真理。 21 那么,你这教导别人的,为什么不教导自己呢?你教导人不可偷盗,自己却偷盗吗? 22 你告诉他人不可通奸,自己却通奸吗?你憎恶偶像,自己却去偷庙里的东西吗? 23 你以律法自夸,自己却违犯律法羞辱上帝吗? 24 正如圣经上说:“因你们的缘故,上帝的名在外族人中受到亵渎!”
25 如果你遵行律法,割礼才有价值;如果你违犯律法,受了割礼也如同未受割礼。 26 如果未受割礼的人遵行律法的教导,他岂不算是受了割礼吗? 27 身体未受割礼却遵行律法的人,必审判你这有律法条文、受了割礼却违犯律法的人。 28 因为徒具外表的犹太人不是真正的犹太人,身体上的割礼也不是真正的割礼。 29 唯有从心里做犹太人的才是真犹太人,真割礼是借着圣灵在心里受的割礼,不在于律法条文。这样的人得到的称赞不是从人来的,而是从上帝来的。
羅馬書 2
Chinese Contemporary Bible (Traditional)
上帝公義的審判
2 因此,你這論斷人的啊,不管你是誰,都難逃罪責。你在什麼事上論斷別人,就在什麼事上定了自己的罪,因為你論斷別人的事,自己也在做。 2 我們都知道,上帝必按真理審判做這些事的人。 3 你這人啊,你論斷別人,自己卻做同樣的事,你以為自己能逃脫上帝的審判嗎? 4 還是你藐視祂深厚的慈愛、寬容和忍耐,不知道祂的慈愛是要引導你悔改嗎? 5 你這樣硬著心不肯悔改等於是為自己積蓄烈怒,上帝的烈怒在祂施行公義審判的那天必臨到你。 6 上帝必照各人的行為施行賞罰。 7 凡是恆心行善、尋求榮耀、尊貴和永恆福分的人,祂要把永生賜給他們; 8 至於那些自私自利、違背真理、行為不義的人,祂的烈怒和怒氣要降在他們身上。 9 一切作惡之人必受患難和痛苦,先是猶太人,然後是希臘人。 10 祂要將榮耀、尊貴和平安賜給一切行善的人,先是猶太人,然後是希臘人。 11 因為上帝不偏待人。
12 沒有上帝律法的人若犯罪,雖然不按律法受審判,仍要滅亡;有上帝律法的人若犯罪,必按律法受審判。 13 因為上帝眼中的義人不是聽到律法的人,而是遵行律法的人。 14 沒有律法的外族人若順著天性做合乎律法的事,他們雖然沒有律法,自己就是自己的律法。 15 這表明律法的要求刻在他們心裡,他們的良心也可以證明,因為他們的思想有時指控他們,有時為他們辯護。 16 按照我所傳的福音,到了審判之日,上帝要藉著耶穌基督審判人一切隱祕的事。
猶太人與律法
17 你自稱是猶太人,倚仗上帝所賜的律法,自誇與上帝有特別的關係; 18 你受過律法的教導,知道上帝的旨意,能明辨是非; 19 你自信可以做盲人的嚮導、黑暗中的人的光、 20 愚昧人的師傅、小孩子的老師,因為你從律法中得到了知識和真理。 21 那麼,你這教導別人的,為什麼不教導自己呢?你教導人不可偷盜,自己卻偷盜嗎? 22 你告訴他人不可通姦,自己卻通姦嗎?你憎惡偶像,自己卻去偷廟裡的東西嗎? 23 你以律法自誇,自己卻違犯律法羞辱上帝嗎? 24 正如聖經上說:「因你們的緣故,上帝的名在外族人中受到褻瀆!」
25 如果你遵行律法,割禮才有價值;如果你違犯律法,受了割禮也如同未受割禮。 26 如果未受割禮的人遵行律法的教導,他豈不算是受了割禮嗎? 27 身體未受割禮卻遵行律法的人,必審判你這有律法條文、受了割禮卻違犯律法的人。 28 因為徒具外表的猶太人不是真正的猶太人,身體上的割禮也不是真正的割禮。 29 唯有從心裡做猶太人的才是真猶太人,真割禮是藉著聖靈在心裡受的割禮,不在於律法條文。這樣的人得到的稱讚不是從人來的,而是從上帝來的。
Copyright © 1989 by Biblica
Chinese Contemporary Bible Copyright © 1979, 2005, 2007, 2011 by Biblica® Used by permission. All rights reserved worldwide.