Font Size
Warumi 10:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
Warumi 10:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
14 Lakini watu watamwitaje yeye ambaye hawajamwamini? Na watamwaminije yeye ambaye hawajawahi kumsikia? Na watamsikiaje kama mtu hakuwahubiria? 15 Na watu watahubirije kama hawaku tumwa? Kama ilivyoandikwa, Ni mizuri mno miguu ya hao wanaohubiri Habari Njema!”
16 Lakini si wote walioipokea Habari Njema. Kwa maana Isaya alisema:“Bwana, ni nani aliyeamini ujumbe wetu?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica