Font Size
Wakolosai 4:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Wakolosai 4:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Maagizo Zaidi
2 Dumuni katika maombi, mkikesha na kushukuru. 3 Pia tuom beeni na sisi ili Mungu atufungulie mlango tupate kutoa ujumbe wetu na kuitangaza siri ya Kristo ambayo kwa ajili yake mimi nimefungwa gerezani. 4 Ombeni kwamba niwezeshwe kuitangaza Injili kwa ufasaha, kama inipasavyo kusema.
Read full chapter
Wakolosai 4:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Wakolosai 4:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Maagizo Zaidi
2 Dumuni katika maombi, mkikesha na kushukuru. 3 Pia tuom beeni na sisi ili Mungu atufungulie mlango tupate kutoa ujumbe wetu na kuitangaza siri ya Kristo ambayo kwa ajili yake mimi nimefungwa gerezani. 4 Ombeni kwamba niwezeshwe kuitangaza Injili kwa ufasaha, kama inipasavyo kusema.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica