Wakolosai 3:23-24
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
23 Kila kazi mnayoifanya, ifanyeni kwa bidii. Fanyeni kama mnamfanyia Bwana wenu wa mbinguni, na si kama mnamfanyia bwana wa dunia hii. 24 Mnajua kwamba mtapokea kutoka kwa Bwana ujira aliowaahidi watu wake. Ndiyo, mnamtumikia Kristo aliye Bwana[a] wenu halisi.
Read full chapterFootnotes
- 3:24 Bwana Au “Mkuu”.
Wakolosai 3:23-24
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
23 Kila kazi mnayoifanya, ifanyeni kwa bidii. Fanyeni kama mnamfanyia Bwana wenu wa mbinguni, na si kama mnamfanyia bwana wa dunia hii. 24 Mnajua kwamba mtapokea kutoka kwa Bwana ujira aliowaahidi watu wake. Ndiyo, mnamtumikia Kristo aliye Bwana[a] wenu halisi.
Read full chapterFootnotes
- 3:24 Bwana Au “Mkuu”.
Wakolosai 3:23-25
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
23 Kila kazi mnayoifanya, ifanyeni kwa bidii. Fanyeni kama mnamfanyia Bwana wenu wa mbinguni, na si kama mnamfanyia bwana wa dunia hii. 24 Mnajua kwamba mtapokea kutoka kwa Bwana ujira aliowaahidi watu wake. Ndiyo, mnamtumikia Kristo aliye Bwana[a] wenu halisi. 25 Kumbukeni kuwa Mungu hana upendeleo; kila afanyaye uovu ataadhibiwa kwa sababu ya uovu wake.
Read full chapterFootnotes
- 3:24 Bwana Au “Mkuu”.
Wakolosai 3:23-25
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
23 Kila kazi mnayoifanya, ifanyeni kwa bidii. Fanyeni kama mnamfanyia Bwana wenu wa mbinguni, na si kama mnamfanyia bwana wa dunia hii. 24 Mnajua kwamba mtapokea kutoka kwa Bwana ujira aliowaahidi watu wake. Ndiyo, mnamtumikia Kristo aliye Bwana[a] wenu halisi. 25 Kumbukeni kuwa Mungu hana upendeleo; kila afanyaye uovu ataadhibiwa kwa sababu ya uovu wake.
Read full chapterFootnotes
- 3:24 Bwana Au “Mkuu”.
© 2017 Bible League International