Font Size
Wagalatia 3:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
Wagalatia 3:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
12 Lakini sheria haitegemei imani kwa maana, “Atimizaye maagizo ya sheria ataishi kwa sheria.” 13 Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kuchukua laana hiyo kwa ajili yetu, kwa maana imeandikwa, “Mtu anayetundikwa msalabani amelaaniwa.” 14 Lakini alitukomboa ili baraka aliyo pewa Abrahamu iwafikie na watu wa mataifa mengine kwa njia ya Yesu Kristo. Na kwa kutegemea imani, sisi tupate kupokea Roho wa
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica