Kutoka kwa Paulo, mtume niliyetumwa, si kutoka kwa watu wala sikuchaguliwa na mwanadamu, bali nimetumwa na Yesu Kristo, na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu. 0 Nawahakikishieni mbele za Mungu kuwa ninayowaandikieni si uongo.

Read full chapter