Njia Ya Kweli Ya Wokovu

Hatimaye ndugu zangu, furahini katika Bwana. Mimi sichoki kuwaandikieni mambo yale yale niliyokwisha waandikia kwa maana najua kwamba yatakuwa ni kinga kwenu. Jihadharini na watenda maovu, hao mbwa, na wale wanaokaza mafundisho ya kutahiriwa. Sisi tumepokea tohara ya kweli, kwa maana tunamwabudu Mungu katika Roho. Sisi tunaona fahari kwa ajili ya maisha yetu ndani ya Kristo Yesu. Hatuweki matumaini yetu katika mambo ya mwili, ijapokuwa mimi mwenyewe ninazo sababu za kuweka matumaini katika mambo hayo. Kama mtu mwingine ye yote anadhani kuwa anazo sababu za kuweka matumaini yake katika mambo ya mwili, basi mimi ninazo sababu zaidi. Nilitahiriwa siku ya nane, mimi ni Mwis raeli wa kabila la Benjamini; Mwebrania halisi. Kuhusu mambo ya kushika sheria, mimi nilikuwa Mfarisayo; na kwa upande wa juhudi, mimi nilikuwa na bidii katika kutesa kanisa; na kuhusu haki ipatikanayo kwa kutii sheria, mimi nilikuwa sina hatia.

Lakini mambo hayo niliyoyaona mwanzo kuwa ni faida kwangu, sasa nayaona kuwa ni hasara kwa ajili ya Kristo. Zaidi ya hayo, nahesabu mambo yote kuwa hasara tupu yakilinganishwa na faida kubwa ninayopata kwa kumjua Kristo Yesu aliye Bwana wangu. Kwa ajili yake nilikubali kupoteza kila kitu na kuona mambo hayo yote kuwa ni takataka ili nipate faida ya kuwa na Kristo; na nikiwa kwake nisionekane kama mtu mwenye haki yake mwenyewe, inayotokana na kushika sheria, bali niwe na ile haki inayotokana na kumwamini Kristo, ambaye yeye ni haki itokayo kwa Mungu inayopatikana kwa imani. 10 Nataka nimjue Kristo na nguvu ya ufufuo wake na nishi riki mateso yake, niwe kama yeye katika kifo chake; 11 na hivyo, kama ikiwezekana, niufikie ufufuo kutoka kwa wafu.

12 Sisemi kwamba nimekwisha kupokea haya yote, au kwamba nimekwisha kuwa mkamilifu, la hasha; bali nazidi kukaza mwendo ili nipate kile ambacho, kwa ajili yake, Kristo amenifanya niwe wake. 13 Ndugu zangu, bado sijihesabu kuwa nimekwisha pata ile zawadi. Lakini jambo moja ninalofanya ni kusahau mambo yote yali yopita, na kukaza mwendo kufikia yaliyo mbele yangu. 14 Nakaza na nifikie ushindi, ili nipate zawadi ambayo Mungu ameniitia mbinguni, nikiwa ndani ya Kristo Yesu.

15 Sisi tuliokomaa kiroho tuwe na msimamo kama huu. Lakini kama kuna mawazo tofauti kuhusu jambo lo lote, Mungu atawafunu lia. 16 Ila tushike sana yale tuliyokwisha kupokea.

17 Ndugu zangu, nawasihi mfuate mfano wangu, na muwatazame wale wanaofuata mfano tuliowapa. 18 Kwa maana, kama nilivyok wisha waambia kabla, na sasa nasema tena kwa machozi, wako watu wengi miongoni mwenu ambao maisha yao yanaonyesha kuwa wao ni adui wa msalaba wa Kristo. 19 Mwisho wa watu hao ni kuangamia, na Mungu wao ni tumbo; kwa sababu wao huyaonea fahari mambo ya aibu na mawazo yao yametawaliwa na mambo ya dunia. 20 Lakini uraia wetu uko mbinguni. Nasi tunangoja kwa hamu Mwokozi kutoka huko, yaani Bwana wetu Yesu Kristo, 21 ambaye, kwa uwezo unaomwezesha kutawala kila kitu, atabadilisha miili yetu midhaifu ili iwe na utukufu kama alionao yeye.

Предпазване от лъжеучители

(A)И така, братя мои, радвайте се в името на Господа. За мене не е досадно да ви пиша едно и също, а вас ще ви предпазва.

Пазете се от злостни деятели, пазете се от тези кучета, пазете се от лъжеобрязването, (B)защото истинското обрязване сме ние, които духовно служим на Бога и се хвалим с Иисус Христос, и не се уповаваме на човешки предимства, (C)(D)макар че аз мога да се уповавам и на човешки предимства. Ако някой друг мисли да се уповава на тях, то още повече аз, (E)(F)който съм обрязан в осмия ден и съм от Израилев род, от Вениаминовото племе, евреин от евреите, по отношение на Закона – фарисей, (G)по усърдие – гонител на църквата, според изискваната от Закона праведност – непорочен. Но това, което беше за мене придобивка, заради Христос го сметнах за загуба. Наистина смятам, че всичко е загуба в сравнение с предимството да се познава Иисус Христос, моят Господ, заради Когото се отрекох от всичко. Всичко за мене е смет, за да придобия Христос и да пребъдвам в Него. Аз търся не своето оправдаване, произхождащо от Закона, а придобиваното чрез вяра в Христос – оправдаването от Бога чрез вярата, 10 (H)за да позная Него и силата на възкресението Му, да споделя страданията Му и да умра подобно на Него, 11 та дано достигна възкресението от мъртвите.

Насърчение за съвършенство

12 Не мисля, че вече съм достигнал нещо или че съм станал съвършен, но се стремя, дано постигна това, заради което Иисус Христос ме завладя. 13 Братя, аз не мисля за себе си, че съм постигнал това; но едно само правя: забравил това, което остана назад, и отправил се към това, което е напред, 14 аз се стремя към целта – към наградата на небесното призоваване от Бога чрез Иисус Христос. 15 И тъй, нека ние, които се стремим към съвършенство, да мислим така; ако ли вие другояче мислите, Бог ще ви разкрие онова, което е правилно. 16 Но по това, до което достигнахме, нека бъдем единомислени и да следваме същото правило[a].

17 (I)Братя, бъдете ми подражатели и насочете поглед към онези, които постъпват по нашия пример. 18 (J)Понеже мнозина, за които често съм ви говорил, а сега дори със сълзи говоря, постъпват като врагове на Христовия кръст. 19 Техният край е гибел, тяхното божество – коремът, а славата – в срама им; мислите им са насочени към земното. 20 А ние сме жители на небесата, откъдето очакваме и Спасителя, нашия Господ Иисус Христос, 21 (K)Който ще преобрази унизеното ни тяло тъй, че то да стане подобно на Неговото славно тяло, със силата, чрез която Той всичко може да покори на Себе Си.

Footnotes

  1. 3:16 В някои ръкописи липсва: „и да следваме същото правило“.

No Confidence in the Flesh

Further, my brothers and sisters, rejoice in the Lord! It is no trouble for me to write the same things to you again,(A) and it is a safeguard for you. Watch out for those dogs,(B) those evildoers, those mutilators of the flesh. For it is we who are the circumcision,(C) we who serve God by his Spirit, who boast in Christ Jesus,(D) and who put no confidence in the flesh— though I myself have reasons for such confidence.(E)

If someone else thinks they have reasons to put confidence in the flesh, I have more: circumcised(F) on the eighth day, of the people of Israel,(G) of the tribe of Benjamin,(H) a Hebrew of Hebrews; in regard to the law, a Pharisee;(I) as for zeal,(J) persecuting the church;(K) as for righteousness based on the law,(L) faultless.

But whatever were gains to me I now consider loss(M) for the sake of Christ. What is more, I consider everything a loss because of the surpassing worth of knowing(N) Christ Jesus my Lord, for whose sake I have lost all things. I consider them garbage, that I may gain Christ(O) and be found in him, not having a righteousness of my own that comes from the law,(P) but that which is through faith in[a] Christ—the righteousness(Q) that comes from God on the basis of faith.(R) 10 I want to know(S) Christ—yes, to know the power of his resurrection and participation in his sufferings,(T) becoming like him in his death,(U) 11 and so, somehow, attaining to the resurrection(V) from the dead.

12 Not that I have already obtained all this, or have already arrived at my goal,(W) but I press on to take hold(X) of that for which Christ Jesus took hold of me.(Y) 13 Brothers and sisters, I do not consider myself yet to have taken hold of it. But one thing I do: Forgetting what is behind(Z) and straining toward what is ahead, 14 I press on(AA) toward the goal to win the prize(AB) for which God has called(AC) me heavenward in Christ Jesus.

Following Paul’s Example

15 All of us, then, who are mature(AD) should take such a view of things.(AE) And if on some point you think differently, that too God will make clear to you.(AF) 16 Only let us live up to what we have already attained.

17 Join together in following my example,(AG) brothers and sisters, and just as you have us as a model, keep your eyes on those who live as we do.(AH) 18 For, as I have often told you before and now tell you again even with tears,(AI) many live as enemies of the cross of Christ.(AJ) 19 Their destiny(AK) is destruction, their god is their stomach,(AL) and their glory is in their shame.(AM) Their mind is set on earthly things.(AN) 20 But our citizenship(AO) is in heaven.(AP) And we eagerly await a Savior from there, the Lord Jesus Christ,(AQ) 21 who, by the power(AR) that enables him to bring everything under his control, will transform our lowly bodies(AS) so that they will be like his glorious body.(AT)

Footnotes

  1. Philippians 3:9 Or through the faithfulness of