Font Size
Waefeso 4:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
Waefeso 4:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
9 Maandiko yanaposema, “Alipaa juu’ 10 Yeye aliyeshuka ndiye aliyepaa juu sana, kupita mbingu zote, ili apate kujaza vitu vyote. 11 Yeye ndiye aliyewapa watu vipawa, wengine kuwa mitume, wengine kuwa manabii, wengine kuwa wainjilisti, na wengine kuwa wachungaji na walimu;
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica