Font Size
Waefeso 4:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Waefeso 4:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
5 Kuna Bwana mmoja, imani moja, na ubatizo mmoja. 6 Mungu ni mmoja na ni Baba wetu sote, anayetawala juu ya kila mtu. Hutenda kazi kupitia kwetu sote na ndani yetu sote.
7 Kristo alimpa kila mmoja wetu karama. Kila mmoja alipokea kwa jinsi alivyopenda yeye kuwapa.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International