Font Size
Waefeso 4:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Waefeso 4:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 Tena kuna Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja; 6 na Mungu mmoja ambaye ni Baba wa wot e, aliye juu ya wote, anayefanya kazi katika yote na aliye ndani ya yote. 7 Lakini kila mmoja wetu alipewa neema kwa kadiri ya kipimo alichogawiwa na Kristo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica