Font Size
Waefeso 4:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
Waefeso 4:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
10 Yeye aliyeshuka ndiye aliyepaa juu sana, kupita mbingu zote, ili apate kujaza vitu vyote. 11 Yeye ndiye aliyewapa watu vipawa, wengine kuwa mitume, wengine kuwa manabii, wengine kuwa wainjilisti, na wengine kuwa wachungaji na walimu; 12 wapate kuwatayarisha watu wa Mungu kwa kazi za huduma, kwa ajili ya kujenga kanisa, ambalo ni mwili wa Kristo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica