Font Size
Waefeso 4:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Waefeso 4:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
4 Basi, mimi niliye mfungwa kwa ajili ya Bwana, nawasihi mu ishi maisha yanayostahili wito mlioitiwa. 2 Muwe wanyenyekevu, wapole, wenye subira, mkivumiliana ninyi kwa ninyi katika upend o. 3 Muwe wepesi wa kutaka kudumisha umoja wa Roho kwa sababu ya amani inayowafunga pamoja.
Read full chapter
Waefeso 4:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Waefeso 4:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
4 Basi, mimi niliye mfungwa kwa ajili ya Bwana, nawasihi mu ishi maisha yanayostahili wito mlioitiwa. 2 Muwe wanyenyekevu, wapole, wenye subira, mkivumiliana ninyi kwa ninyi katika upend o. 3 Muwe wepesi wa kutaka kudumisha umoja wa Roho kwa sababu ya amani inayowafunga pamoja.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica