Kwa hiyo mfuateni Mungu kama watoto wapendwa. Muishi maisha ya upendo kama Kristo alivyotupenda sisi akajitoa kwa ajili yetu kuwa sadaka yenye harufu nzuri na dhabihu kwa Mungu. Lakini uasherati, uchafu wa aina zote na tamaa, wala yasitajwe miongoni mwenu, kwa maana mambo haya hayawastahili watakatifu wa Mungu. Kusiwepo na mazungumzo machafu ya aibu, au maneno ya upuuzi au mzaha; mazungumzo ya namna hii hayafai. Badala yake mshukuruni Mungu. Mjue hakika kwamba hakuna mwasherati wala mtu mwenye mawazo machafu, wala mwenye tamaa, yaani mwabudu sanamu, ambaye ataurithi Ufalme wa Kristo na wa Mungu. Msikubali kudan ganywa na mtu ye yote kwa maneno matupu, kwa kuwa hasira ya Mungu huwaka kwa sababu ya mambo kama haya juu ya watu wote wasiomtii. Kwa hiyo, msishirikiane nao. Zamani ninyi pia mlikuwa gizani, lakini sasa mmekuwa nuru katika Bwana; basi muishi kama watoto wa nuru. Kwa maana tunda la nuru hupatikana katika kila lililo jema, lililo la haki na la kweli. 10 Jifunzeni mambo yanayom pendeza Bwana. 11 Msishiriki matendo ya giza yasiyofa a, bali yafichueni. 12 Kwa maana ni aibu hata kutaja mambo wanayofanya kwa siri. 13 Lakini ikiwa jambo lo lote linawekwa katika nuru, huonekana, kwa maana ni nuru inayofanya vitu vionekane. 14 Ndio sababu husemwa, “Amka wewe uliyelala, ufufuke kutoka kwa wafu, na Kristo atakuangazia.” 15 Kwa hiyo muwe waangalifu jinsi mnavyoishi; msiishi kama watu wasio na hekima, bali kama watu wenye hekima, 16 mkitumia vizuri muda mlio nao, kwa maana hizi ni nyakati za uovu. 17 Kwa hiyo msiwe wajinga, bali muelewe yaliyo mapenzi ya Mungu. 18 Pia msilewe divai, kwa sababu huo ni upotovu, bali mjazwe Roho. 19 Zungumzeni ninyi kwa ninyi kwa zaburi na nyimbo na tenzi za rohoni, mkimwimbia Mungu mioyoni mwenu kwa sauti tamu. 20 Wakati wote na kwa kila kitu mshukuruni Mungu Baba katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo. 21 Kila mmoja wenu ajinyenyekeze kwa mwenzake kwa sababu ya upendo mlio nao kwa Kristo. 22 Wake, watiini waume zenu kama mnavyomtii Bwana. 23 Kwa maana mume ni kichwa cha mke kama vile Kristo alivyo kichwa cha kanisa, ambalo ni mwili wake, naye mwe nyewe ni Mwokozi wa kanisa. 24 Basi, kama vile Kanisa linavyom tii Kristo, vivyo hivyo na wake pia wanapaswa kuwatii waume zao kwa kila jambo. 25 Ninyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo alivyolipenda kanisa akajitoa nafsi yake kwa ajili yake ili 26 alitakase. Alifanya hivyo kwa kuliosha kwa maji na kwa neno lake 27 ili ajipatie kanisa linalong’aa, lisilo na doa wala kunjamano wala kitu kingine cho chote kama hicho; liwe takatifu na bila kasoro. 28 Vivyo hivyo waume wawapende wake zao kama miili yao. Anayempenda mkewe anajipenda mwenyewe. 29 Hakuna mtu anayeuchukia mwili wake mwenyewe, bali huulisha na kuutunza vizuri, kama Kristo anavyolitunza kanisa lake. 30 Sisi tu viungo vya mwili wake. 31 “Kwa sababu hii, mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataungana na mkewe, na hawa wawili wata kuwa mwili mmoja.” 32 Hili ni fumbo gumu kueleweka, nami nasema kuwa ni kielelezo kuhusu Kristo na kanisa. 33 Hata hivyo kila mmoja wenu ampende mkewe kama anavyoipenda nafsi yake; na mke naye ahakikishe anamheshimu mumewe. Watoto Na Wazazi

Be ye therefore followers of God, as dear children;

And walk in love, as Christ also hath loved us, and hath given himself for us an offering and a sacrifice to God for a sweetsmelling savour.

But fornication, and all uncleanness, or covetousness, let it not be once named among you, as becometh saints;

Neither filthiness, nor foolish talking, nor jesting, which are not convenient: but rather giving of thanks.

For this ye know, that no whoremonger, nor unclean person, nor covetous man, who is an idolater, hath any inheritance in the kingdom of Christ and of God.

Let no man deceive you with vain words: for because of these things cometh the wrath of God upon the children of disobedience.

Be not ye therefore partakers with them.

For ye were sometimes darkness, but now are ye light in the Lord: walk as children of light:

(For the fruit of the Spirit is in all goodness and righteousness and truth;)

10 Proving what is acceptable unto the Lord.

11 And have no fellowship with the unfruitful works of darkness, but rather reprove them.

12 For it is a shame even to speak of those things which are done of them in secret.

13 But all things that are reproved are made manifest by the light: for whatsoever doth make manifest is light.

14 Wherefore he saith, Awake thou that sleepest, and arise from the dead, and Christ shall give thee light.

15 See then that ye walk circumspectly, not as fools, but as wise,

16 Redeeming the time, because the days are evil.

17 Wherefore be ye not unwise, but understanding what the will of the Lord is.

18 And be not drunk with wine, wherein is excess; but be filled with the Spirit;

19 Speaking to yourselves in psalms and hymns and spiritual songs, singing and making melody in your heart to the Lord;

20 Giving thanks always for all things unto God and the Father in the name of our Lord Jesus Christ;

21 Submitting yourselves one to another in the fear of God.

22 Wives, submit yourselves unto your own husbands, as unto the Lord.

23 For the husband is the head of the wife, even as Christ is the head of the church: and he is the saviour of the body.

24 Therefore as the church is subject unto Christ, so let the wives be to their own husbands in every thing.

25 Husbands, love your wives, even as Christ also loved the church, and gave himself for it;

26 That he might sanctify and cleanse it with the washing of water by the word,

27 That he might present it to himself a glorious church, not having spot, or wrinkle, or any such thing; but that it should be holy and without blemish.

28 So ought men to love their wives as their own bodies. He that loveth his wife loveth himself.

29 For no man ever yet hated his own flesh; but nourisheth and cherisheth it, even as the Lord the church:

30 For we are members of his body, of his flesh, and of his bones.

31 For this cause shall a man leave his father and mother, and shall be joined unto his wife, and they two shall be one flesh.

32 This is a great mystery: but I speak concerning Christ and the church.

33 Nevertheless let every one of you in particular so love his wife even as himself; and the wife see that she reverence her husband.