Basi, mimi niliye mfungwa kwa ajili ya Bwana, nawasihi mu ishi maisha yanayostahili wito mlioitiwa. Muwe wanyenyekevu, wapole, wenye subira, mkivumiliana ninyi kwa ninyi katika upend o. Muwe wepesi wa kutaka kudumisha umoja wa Roho kwa sababu ya amani inayowafunga pamoja. Kuna mwili mmoja na Roho mmoja, k ama mlivyoitwa mpokee tumaini moja. Tena kuna Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja; na Mungu mmoja ambaye ni Baba wa wot e, aliye juu ya wote, anayefanya kazi katika yote na aliye ndani ya yote. Lakini kila mmoja wetu alipewa neema kwa kadiri ya kipimo alichogawiwa na Kristo. Kwa hiyo Maandiko yanasema: “Alipopaa juu, aliongoza mateka wengi, na akawapa watu zawadi.” Maandiko yanaposema, “Alipaa juu’ 10 Yeye aliyeshuka ndiye aliyepaa juu sana, kupita mbingu zote, ili apate kujaza vitu vyote. 11 Yeye ndiye aliyewapa watu vipawa, wengine kuwa mitume, wengine kuwa manabii, wengine kuwa wainjilisti, na wengine kuwa wachungaji na walimu; 12 wapate kuwatayarisha watu wa Mungu kwa kazi za huduma, kwa ajili ya kujenga kanisa, ambalo ni mwili wa Kristo. 13 Kazi hiyo itaende lea mpaka sote tuufikie umoja katika imani na katika kumjua Mwana wa Mungu; tupate kuwa watu waliokomaa kiroho kwa kufikia kiwango cha ukamilifu wote ulio ndani ya Kristo. 14 Hapo ndipo tutaacha kuwa tena kama watoto wadogo, wanaorushwarushwa huku na huko na kupeperushwa na kila upepo wa mafundisho na hila za watu wadan ganyifu. 15 Badala yake, tukiambiana ukweli kwa upendo, tutakua kwa kila hali, tufanane na Kristo ambaye ndiye kichwa. 16 Kutoka kwake, mwili wote ukiwa umeunganishwa na kushikamanishwa pamoja kwa viungo vyake, hukua na kujengeka katika up endo, kila sehemu ikifanya kazi yake. Maisha Mapya Ndani Ya Kristo

17 Kwa hiyo nawaambia na kusisitiza katika Bwana kwamba, msiishi tena kama watu wa mataifa wasiomjua Mungu, ambao wanaon gozwa na mawazo yao yasiyofaa. 18 Watu hao akili zao zimetiwa giza wasiweze kuelewa; nao wametengwa mbali na uhai wa Mungu kwa sababu ya ujinga walionao na ugumu wa mioyo yao. 19 Kwa kuwa hawajali kuhusu mema na mabaya, wamekuwa sugu na kutawaliwa na uasherati, wakiwa na tamaa ya kutenda kila aina ya uchafu. 20 Lakini ninyi hamkujifunza hivyo kutoka kwa Kristo, 21 kama kweli mlisikia habari zake na kufundishwa kumhusu, kufuatana na kweli itokayo kwa Yesu. 22 Vueni maisha yenu ya zamani muweke kando hali yenu ya asili ambayo huharibiwa na tamaa potovu. 23 Nia zenu zifanywe upya 24 na mvae utu upya ulioumbwa kwa mfano wa Mungu katika haki na utakatifu. 25 Kwa hiyo, kila mmoja wenu aache kusema uongo, na amwambie ndugu yake ukweli, kwa maana sisi sote ni viungo vya mwili mmoja. 26 Mkikasirika, msitende dhambi; msikubali kukaa na hasira kutwa nzima 27 na kumpa she tani nafasi. 28 Mwizi asiibe tena, bali afanye kazi halali kwa mikono yake ili aweze kuwa na kitu cha kuwapa wenye kuhitaji msaada. 29 Msiruhusu maneno machafu yatoke vinywani mwenu, bali mazungumzo yenu yawe ya msaada katika kuwajenga wengine kufuatana na mahitaji yao, ili wale wanaowasikiliza wapate kufaidika. 30 Na msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu ambaye ni mhuri wenu wa uthibitisho kwa siku ya ukombozi. 31 Ondoeni kabisa chuki yote, ghadhabu, hasira, ugomvi na matusi, pamoja na kila aina ya uovu. 32 Muwe wema na wenye mioyo ya upendo kati yenu, na kusameheana kama Mungu alivyowasamehe kwa ajili ya Kristo. Watoto Wa Nuru

Unity and Maturity in the Body of Christ

As a prisoner(A) for the Lord, then, I urge you to live a life worthy(B) of the calling(C) you have received. Be completely humble and gentle; be patient, bearing with one another(D) in love.(E) Make every effort to keep the unity(F) of the Spirit through the bond of peace.(G) There is one body(H) and one Spirit,(I) just as you were called to one hope when you were called(J); one Lord,(K) one faith, one baptism; one God and Father of all,(L) who is over all and through all and in all.(M)

But to each one of us(N) grace(O) has been given(P) as Christ apportioned it. This is why it[a] says:

“When he ascended on high,
    he took many captives(Q)
    and gave gifts to his people.”[b](R)

(What does “he ascended” mean except that he also descended to the lower, earthly regions[c]? 10 He who descended is the very one who ascended(S) higher than all the heavens, in order to fill the whole universe.)(T) 11 So Christ himself gave(U) the apostles,(V) the prophets,(W) the evangelists,(X) the pastors and teachers,(Y) 12 to equip his people for works of service, so that the body of Christ(Z) may be built up(AA) 13 until we all reach unity(AB) in the faith and in the knowledge of the Son of God(AC) and become mature,(AD) attaining to the whole measure of the fullness of Christ.(AE)

14 Then we will no longer be infants,(AF) tossed back and forth by the waves,(AG) and blown here and there by every wind of teaching and by the cunning and craftiness of people in their deceitful scheming.(AH) 15 Instead, speaking the truth in love,(AI) we will grow to become in every respect the mature body of him who is the head,(AJ) that is, Christ. 16 From him the whole body, joined and held together by every supporting ligament, grows(AK) and builds itself up(AL) in love,(AM) as each part does its work.

Instructions for Christian Living

17 So I tell you this, and insist on it in the Lord, that you must no longer(AN) live as the Gentiles do, in the futility of their thinking.(AO) 18 They are darkened in their understanding(AP) and separated from the life of God(AQ) because of the ignorance that is in them due to the hardening of their hearts.(AR) 19 Having lost all sensitivity,(AS) they have given themselves over(AT) to sensuality(AU) so as to indulge in every kind of impurity, and they are full of greed.

20 That, however, is not the way of life you learned 21 when you heard about Christ and were taught in him in accordance with the truth that is in Jesus. 22 You were taught, with regard to your former way of life, to put off(AV) your old self,(AW) which is being corrupted by its deceitful desires;(AX) 23 to be made new in the attitude of your minds;(AY) 24 and to put on(AZ) the new self,(BA) created to be like God in true righteousness and holiness.(BB)

25 Therefore each of you must put off falsehood and speak truthfully(BC) to your neighbor, for we are all members of one body.(BD) 26 “In your anger do not sin”[d]:(BE) Do not let the sun go down while you are still angry, 27 and do not give the devil a foothold.(BF) 28 Anyone who has been stealing must steal no longer, but must work,(BG) doing something useful with their own hands,(BH) that they may have something to share with those in need.(BI)

29 Do not let any unwholesome talk come out of your mouths,(BJ) but only what is helpful for building others up(BK) according to their needs, that it may benefit those who listen. 30 And do not grieve the Holy Spirit of God,(BL) with whom you were sealed(BM) for the day of redemption.(BN) 31 Get rid of(BO) all bitterness, rage and anger, brawling and slander, along with every form of malice.(BP) 32 Be kind and compassionate to one another,(BQ) forgiving each other, just as in Christ God forgave you.(BR)

Footnotes

  1. Ephesians 4:8 Or God
  2. Ephesians 4:8 Psalm 68:18
  3. Ephesians 4:9 Or the depths of the earth
  4. Ephesians 4:26 Psalm 4:4 (see Septuagint)