Font Size
Waebrania 9:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Waebrania 9:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Agano La Kwanza Na Agano Jipya
9 Basi hata lile agano la kwanza lilikuwa na kanuni zake za ibada pamoja na mahali pa kuabudia hapa duniani. 2 Hema la kuabu dia liliandaliwa likiwa na chumba cha kwanza ambamo mlikuwa na chombo cha kuwekea taa, na meza na mikate iliyowekwa wakfu. Chumba hiki kiliitwa Patakatifu. 3 Nyuma ya pazia la pili, pali kuwa na chumba kiitwacho Patakatifu pa Patakatifu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica