Font Size
Ufunuo 2:27-29
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Ufunuo 2:27-29
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
27 Watayatawala mataifa kwa fimbo ya chuma. Watayavunja vipande vipande kama vyombo vya udongo wa mfinyanzi.[a] 28 Watakuwa na nguvu ile ile niliyoipokea kutoka kwa Baba yangu, na nitawapa nyota ya asubuhi. 29 Kila anayesikia hili azingatie kile ambacho Roho anayaambia makanisa.
Read full chapterFootnotes
- 2:26-27 Mistari hii inafanana na Zab 2:8-9 (tafsiri ya Kiyunani).
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International