Font Size
Ufunua wa Yohana 17:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 17:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 Na kwenye kipaji cha uso wake yaliandikwa maneno yenye maana iliyofichika: “Babiloni Mkuu, Mama wa Makahaba na wa Machukizo yote ya Duniani.” 6 Nikaona kuwa huyo mwanamke alikuwa amelewa damu ya watu wa Mungu na damu ya watu waliouawa kwa kumshuhudia Yesu. Nilipomwona, nilistaajabu sana. 7 Lakini yule malaika akaniambia, “Kwa nini unastaajabu? Nitakufunulia siri ya huyo mwanamke na huyo mnyama aliyembeba, mwenye vichwa saba na pembe kumi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica