Font Size
Ufunua wa Yohana 1:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 1:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 ambaye ameandika yale yote aliyoyaona, yaani ujumbe wa neno la Mungu na ushuhuda wa Yesu Kristo. 3 Amebarikiwa anayesoma maneno ya unabii huu na wale wanaosikiliza na kuzingatia yale yaliyoandikwa humu, maana wakati umekaribia.
Salamu Kwa Makanisa Saba
4 Kutoka kwa Yohana. Kwa Makanisa saba yaliyoko Asia: Ninawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu aliyeko, ambaye alikuwako na atakayekuja; na kutoka kwa wale roho saba walioko mbele ya kiti chake cha enzi;
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica