Mathayo 19:13-15
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Awakaribisha Watoto
(Mk 10:13-16; Lk 18:15-17)
13 Ndipo watu wakawaleta watoto wao wadogo kwa Yesu ili awabariki na kuwaombea. Wafuasi wake walipoliona hili, waliwakataza watu wasiwalete watoto kwa Yesu. 14 Lakini Yesu akasema, “Waacheni watoto wadogo waje kwangu, msiwazuie, kwa sababu ufalme wa Mungu ni wa watu walio kama watoto hawa wadogo.” 15 Baada ya Yesu kuwabariki watoto, aliondoka huko.
Read full chapter
Matthew 19:13-15
New International Version
The Little Children and Jesus(A)
13 Then people brought little children to Jesus for him to place his hands on them(B) and pray for them. But the disciples rebuked them.
14 Jesus said, “Let the little children come to me, and do not hinder them, for the kingdom of heaven belongs(C) to such as these.”(D) 15 When he had placed his hands on them, he went on from there.
© 2017 Bible League International
Holy Bible, New International Version®, NIV® Copyright ©1973, 1978, 1984, 2011 by Biblica, Inc.® Used by permission. All rights reserved worldwide.
NIV Reverse Interlinear Bible: English to Hebrew and English to Greek. Copyright © 2019 by Zondervan.
