Add parallel Print Page Options

34 Yesu alitumia simulizi akasema mambo yote haya kwa watu. Daima alitumia simulizi kuwafundisha. 35 Hii ilikuwa kuweka wazi maana halisi kama manabii walivyosema:

“Nitazungumza kwa kutumia simulizi;
    Nitayasema mambo ambayo yamekuwa siri
    tangu ulimwengu ulipoumbwa.”(A)

Read full chapter