Font Size
Mathayo 13:34-35
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 13:34-35
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
34 Yesu alitumia simulizi akasema mambo yote haya kwa watu. Daima alitumia simulizi kuwafundisha. 35 Hii ilikuwa kuweka wazi maana halisi kama manabii walivyosema:
“Nitazungumza kwa kutumia simulizi;
Nitayasema mambo ambayo yamekuwa siri
tangu ulimwengu ulipoumbwa.”(A)
Matayo 13:34-35
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 13:34-35
Neno: Bibilia Takatifu
Sababu Ya Yesu Kutumia Mifano
34 Haya yote Yesu aliwaeleza umati wa watu kwa kutumia mifano. Na hakika hakuwaambia lo lote pasipo kutumia mfano. 35 Hii ilikuwa kutimiza utabiri wa nabii, kwamba, ‘Nitazungumza nao kwa mifano; nitatamka mambo yaliyofichika tangu kuumbwa kwa ulimwengu.’
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica