Font Size
Mathayo 10:34-36
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 10:34-36
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Kumfuata Yesu Kunaleta Matatizo
(Lk 12:51-53; 14:26-27)
34 Msidhani kuwa nilikuja duniani kuleta amani. Sikuja kuleta amani. Nilikuja kuleta vita. 35 Nimekuja ili hili litokee:
‘Mwana atamgeuka baba yake.
Binti atamgeuka mama yake.
Binti mkwe atamgeuka mama mkwe wake.
36 Hata watu wa familia zenu watakuwa adui zenu.’(A)
Matayo 10:34-36
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 10:34-36
Neno: Bibilia Takatifu
Gharama Ya Kumfuata Yesu
34 “Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali vita. 35 Kwa maana nimekuja kuleta kutokuele wana kati ya mtu na baba yake, na kati ya binti na mama yake, na kati ya mkwe na mama mkwe wake. 36 Na maadui wakubwa wa mtu watakuwa watu wa nyumbani kwake.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica