Font Size
Matayo 10:34-36
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 10:34-36
Neno: Bibilia Takatifu
Gharama Ya Kumfuata Yesu
34 “Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali vita. 35 Kwa maana nimekuja kuleta kutokuele wana kati ya mtu na baba yake, na kati ya binti na mama yake, na kati ya mkwe na mama mkwe wake. 36 Na maadui wakubwa wa mtu watakuwa watu wa nyumbani kwake.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica