Font Size
Mathayo 9:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 9:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Amponya Aliyepooza
(Mk 2:1-12; Lk 5:17-26)
9 Yesu akapanda katika mashua na akasafiri kwa kukatisha ziwa kurudi kwenye mji wake. 2 Baadhi ya watu wakamletea mtu aliyepooza akiwa amelala kwenye machela. Yesu alipoona imani waliyokuwa nayo, alimwambia yule mtu aliyepooza, “Changamka mtoto wangu! Dhambi zako zimesamehewa.”
3 Baadhi ya walimu wa sheria walisikia alichosema Yesu. Wakaambizana wao kwa wao, “Si anamtukana Mungu mtu huyu akasema hivyo!”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International